Nimejaribu kuangalia uchunguzi huuu wa CNN naona umejaa uchochezi tuuuu na kutugawa sisi kama taifa TUJIULIZE MASWALI KWANZA YA MUHIMU Huu siyo uchunguzi huu ni uchochezi tuuuu kwanini wamechagua vipande??? Kwanini pale wanachoma sheli hawajaweka?? Pale wanaua watu kisa watoka kupiga Kura mhona hawajaweka?pale wanachoma magari mbona hawajaweka?? Pale wanaiba siraha kituo Cha polisi mbona hawajaweka?? Kivipi wasiweke pale wanachoma mwendokasi?? Kwanini wasiweke pale waiba magari ya polisi?? Huuu siyo uchunguzi huu ni uchochezi Tena zile video za akina mange zinatumika Tena kama uchunguzi huku tukiambiwa ni satellite ndo imefanya Sasa tumepata majibu kumbe Hawa akina mange wanashirikiana na vyombo vya magharibi kweli Tena munatupa majibu kwa haraka sana sisi wenye akili tusiofata mkumbo. Kama TAIFA bado tutakua imara na nyie wachochezi mutaishia pabaya